MICHEZO
Alichozungumza Farid kuhusu Puma kuendelea kumtumia vifaa
Mtanzania Farid Musa anayecheza soka katika timu ya Tenerife ya Hispania ya Ligi daraja la pili, leo nimempata katika exclusive interview nikikumbushia ile ishu yake ya kupewa vifaa na kampuni ya Puma toka akiwa Tanzania sasa hivi imefikia wapi ameanza kulipwa?
Mtanzania Farid Musa anayecheza soka katika timu ya Tenerife ya Hispania ya Ligi daraja la pili, leo nimempata katika exclusive interview nikikumbushia ile ishu yake ya kupewa vifaa na kampuni ya Puma toka akiwa Tanzania sasa hivi imefikia wapi ameanza kulipwa?
0 Comments